Pilau tena bado limebaki Sporah, Karibu sana Morogoro. Niliona show yako juzi Star tv, niliipenda sana, hasa jinsi unavotangaza. Karibu sana Mororogoro Dada kuna shule nyingi sana za bording ambazo ingekua vizuri kama Star kama wewe ungezitembelea na kuongea na kinadada maana huku Mambo ya Abotion yanatuua sisi kina dada, hasa hizi shule za bording. kwakweli ingekua ni vizuri sana kama ungeweza kututembelea nakuongea machache kuhusu abortion kwa vijana wasasa. Nakutakia Kheri ya Mwaka mpya 2011, na Mungu akuzidishie na akupe ushujaa zaidi. Mdau Morogoro
you too spora
ReplyDeleteAww! Nice one dear i like this one. very chick sporah
ReplyDeleteAnd You Sporah.
ReplyDeleteNawewe pia Spora, Nimeona show yako Star tv, Mamaaaa uko juu. Nimeipenda.
ReplyDeleteThis is very nice Sporah, and you are very beautiful.
ReplyDeleteAnd you too Sporah.
ReplyDeleteNa wewe pia Sporah.
ReplyDeleteHii kali Sporah, sana tu. Napenda hiyo ya Snow, kwanini usituonyeshe yote jamani! Unajua Bongo hatuna Snow. We love you Sporah na karibu sana Bongo.
ReplyDeleteMbona wewe haujatualika Pilau Sporah? Karibu sana Reading.
ReplyDeletePilau tena bado limebaki Sporah, Karibu sana Morogoro.
ReplyDeleteNiliona show yako juzi Star tv, niliipenda sana, hasa jinsi unavotangaza. Karibu sana Mororogoro Dada kuna shule nyingi sana za bording ambazo ingekua vizuri kama Star kama wewe ungezitembelea na kuongea na kinadada maana huku Mambo ya Abotion yanatuua sisi kina dada, hasa hizi shule za bording. kwakweli ingekua ni vizuri sana kama ungeweza kututembelea nakuongea machache kuhusu abortion kwa vijana wasasa. Nakutakia Kheri ya Mwaka mpya 2011, na Mungu akuzidishie na akupe ushujaa zaidi.
Mdau Morogoro
Yani Sporah umekua mkubwa!! Cant wait to see you.
ReplyDeleteSasa Bongo lini?
All the best With your show on 2011 baby girl.
ReplyDeleteI like your show, I watched it on BEN TV. And like the way you interact with your guest, so real.
ReplyDeleteKeep up.
Happy New Year The Sporah Show.
ReplyDeleteI IKE THAT SNOW PART, NEXT TIME CALL ME PLSE TO COMPANY YOU.
ReplyDelete