Du hata mie hilo jambo la gauni la harusi ni kweli wabongo wamezidi kuvaa nguo zakutia aibu kwenye maharusi tena siku izi ma Bibi Harusi wanacheza ndomboloo mpaka chini! jamani siku ya harusi wakwe wako hapo, mababu, wazazi!!!! Kweli huu ni mfano wa kuigwa hasa sisi waigaji tujaribu kuvaa nguo za heshima kwenye maharusi. Uko juu sporah no dought.
Sporah hizi nywele zinakupendeza na sinakufanya ulook your age, yale manywele mengine unawekaga yanakuzeeshaga kabisaaaa. Sasa ivi namuona kabisa binti wa Njau, na out of all you represent Africa, yale manywele mengine unawekaga kusema ukweli unakuaga kama mmama. Wakati wewe bado kabisaaa, Usikubali kuwa mtumwa wa fashion dadaangu. THIS IS YOU.
Nakubaliana na mdau hapo juu, dada sporah unasound very sexy ukiongea kiswahili, utafikiri unapiga zeze bwana, i wish ungefanya sporah show kwa kiswahili.
Welcome to the world sporah, nilizani hili linanikutaga mimi tu, yani sijawahi kujitambulisha kwa watu wakanielewa na kuelewa nchi yangu streight away! Ukisema East Africa the 1st thing is KENYA! Nadhani Tanzania ingeagalia vizuri ni njinsi gani yakuitangaza nchi yetu. Good show hun.
Jamani hii minigeria wakati mwingine inakuaga very rude sasa we utasemaje nilifikiri wewe Ni mnigeria s.h.i.t, Hellooo, kwasababu ana TV show kwahiyo alitakiwa awe mnigeria, ningekujua wewe ungenikoma. Sporah kazi nzuri na Asante sana kwakupeperusha bendera ya TZ. Keep up the good work girl.
Nakubaliana na mdau hapo juu, Ukiona sehemu hakuna Mchaga kimbia uvunjike miguu ni kamavile Wanigeria, Ukiona sehemu hakuna Wanigeria au Wahindi kimbia ufe.Ila kwa watanzania pasipo na wachaga run mother F..ck run run! Unakubalika Sporah.
Nice show sporah ila yakurushwa star tv please naomba utoe hayo maguy jamani. mi nakaaga naangalia show yako nikiwa na babaangu na mamaangu na wadogozangu yani thats the last thing i want to see nikiwa na familia yangu. Show nzuri sana Sporah.
kwanini atoe hayo mambo ya maguy, simlitaka awaletee live sasa hii ndio hali halisi ya maisha ya uingereza, Sporah sioni sababu kabisa ya kutoa hizo part za maguy we tuonyeshe mambo halisi jinsi yalivokua huko.
THIS IS WHAT I WAS TALKING ABOUT... TICK TICK SPORAH SHOW.
ReplyDeleteFrom rags to Riches lol
ReplyDeleteAt last kiswahili on the sporah show ha ha ha.
ReplyDeleteYou look lovely spora.
ReplyDeleteCahterine looked amazing!!
ReplyDeleteThe British economy might be sclerotic, but at least they can still do a good royal wedding.
ReplyDeleteEnough Royal articles. Positive, negative, sycophantic , I don't care. Enough sporah!
ReplyDeleteYour Language sound very sweet sporah!
ReplyDeletesporahhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh
ReplyDeleteNimekukubali dada sporah.
ReplyDeletestupid rich kids.
ReplyDeleteWho cares about the royals????
ReplyDeleteOi oi, your language sound hot,you sound sexy as hell sporah.
ReplyDeleteMnachekelea barabarani kweupe wakati imewakost UK £5 billion, Crazy.
ReplyDeleteUko juuuuu sporah
ReplyDeletePia na kina dada wajifunze mambo ya kuvaa nguo za waziiiii kwenye maharusi waanche. huyu bibi harusi ni mfano mzuri sana wakuigwa.
ReplyDeleteSafi sana sporah.
ReplyDeleteMMH, Kaka ake amemdanganya lol, eti the only Muzungu in Tanzania?? NOOO we have many Muzungu'z in Tanzania.
ReplyDeleteSporah, I respect u girl.
Du hata mie hilo jambo la gauni la harusi ni kweli wabongo wamezidi kuvaa nguo zakutia aibu kwenye maharusi tena siku izi ma Bibi Harusi wanacheza ndomboloo mpaka chini! jamani siku ya harusi wakwe wako hapo, mababu, wazazi!!!! Kweli huu ni mfano wa kuigwa hasa sisi waigaji tujaribu kuvaa nguo za heshima kwenye maharusi.
ReplyDeleteUko juu sporah no dought.
Weldone Sporah Show
ReplyDeleteNo way, all along i thought your Nigerian!
ReplyDeleteSHIT....
Nakukubali my dada, uko juu.
ReplyDeleteYour my role model of all the time am sooo proud of you.
ReplyDeleteSporah hizi nywele zinakupendeza na sinakufanya ulook your age, yale manywele mengine unawekaga yanakuzeeshaga kabisaaaa. Sasa ivi namuona kabisa binti wa Njau, na out of all you represent Africa, yale manywele mengine unawekaga kusema ukweli unakuaga kama mmama. Wakati wewe bado kabisaaa, Usikubali kuwa mtumwa wa fashion dadaangu. THIS IS YOU.
ReplyDeleteNakubaliana na mdau hapo juu, dada sporah unasound very sexy ukiongea kiswahili, utafikiri unapiga zeze bwana, i wish ungefanya sporah show kwa kiswahili.
ReplyDeleteSporah check your facebook msg plz
ReplyDeleteWelcome to the world sporah, nilizani hili linanikutaga mimi tu, yani sijawahi kujitambulisha kwa watu wakanielewa na kuelewa nchi yangu streight away! Ukisema East Africa the 1st thing is KENYA! Nadhani Tanzania ingeagalia vizuri ni njinsi gani yakuitangaza nchi yetu.
ReplyDeleteGood show hun.
Tired of the royal wedding business.
ReplyDeleteAbsolutely fantastic event -would't have missed it for anything if i was in Britain.
ReplyDeleteDaa! imetulia kweli huko mamtoni kweli kwell full kujiachia.
ReplyDeleteYour language sound sweet and very polite.
ReplyDeleteI wish ningekua rafiki yako, ata wa barua pepe tu.
ReplyDeleteJamani hii minigeria wakati mwingine inakuaga very rude sasa we utasemaje nilifikiri wewe Ni mnigeria s.h.i.t, Hellooo, kwasababu ana TV show kwahiyo alitakiwa awe mnigeria, ningekujua wewe ungenikoma. Sporah kazi nzuri na Asante sana kwakupeperusha bendera ya TZ. Keep up the good work girl.
ReplyDeleteBwana unatuzengua mbona mi sikukuona Church?
ReplyDeleteHahhaha, Full Kiswanglish, i like this one. Uko juu sporah. Very Simple but....................
ReplyDeleteI din't understand much of your language but i enjoyed watching the beautiful sporah.
ReplyDeleteI looooove your background music, lov the song/great choice.
ReplyDeleteTrue watu wengi hawaijui TZ ila yote nikwasababu hatujawahi kumwaga damu, ila nadhani sasaivi huu ni wakati wetu kushine.
ReplyDeletekazi nzuri sporah.
ReplyDeleteWACHAGA MPO JUU, YAANI......UKIONA SEHEMU AMBAYO MCHAGA HAYUPO KIMBIA UFE.....DADA SPORAH HONGERA SANA.
ReplyDeleteUko juu Kileleni Sporah.
ReplyDeleteGreat job sporah..
ReplyDeleteNakubaliana na mdau hapo juu, Ukiona sehemu hakuna Mchaga kimbia uvunjike miguu
ReplyDeleteni kamavile Wanigeria, Ukiona sehemu hakuna Wanigeria au Wahindi kimbia ufe.Ila kwa watanzania pasipo na wachaga run mother F..ck run run!
Unakubalika Sporah.
Nice show sporah ila yakurushwa star tv please naomba utoe hayo maguy jamani. mi nakaaga naangalia show yako nikiwa na babaangu na mamaangu na wadogozangu yani thats the last thing i want to see nikiwa na familia yangu. Show nzuri sana Sporah.
ReplyDeleteBig up ur self Sporah, a killa show
ReplyDeleteBig up ur self Sporah, a killa show
ReplyDeletekwanini atoe hayo mambo ya maguy, simlitaka awaletee live sasa hii ndio hali halisi ya maisha ya uingereza, Sporah sioni sababu kabisa ya kutoa hizo part za maguy we tuonyeshe mambo halisi jinsi yalivokua huko.
ReplyDeleteSporah kumbe ndio unakishep kizuri hivi!! MMH Wachaga nyieeeee. Love you mamito.
ReplyDeleteVideo ya bongo star tv utoe hao maguy bwana.
ReplyDeleteSimple but Mwah!
ReplyDeleteVery well done...i see u rockin!!thumbs up Sporah!!!
ReplyDeleteThis is very nice Sporah, you look beautiful, live, enegetic, strong, confident and ofcaurse very professional. Well done
ReplyDeleteRoyal Wedding is over, we're now on Osama Bin Laden'....
ReplyDeleteTrue kilakitu is about Bin Laden lol... This world!!
ReplyDelete